Gari ambayo namba zake hazikuweza kupatikana mara moja Linalomilikiwa na Linyandu wa Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi lilikutwa limepata ajali eneo la Maguja baada ya breki zake kufeli na kujikuta likiingia shimoni.Hakuna majeruhi Katika ajali hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...