MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein (wa tatu kulia), na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Rais wa Zanzibar  Mama Asha Seif  Iddi (wa pili kulia) wakiangalia Bidhaa za Wanawake Wajasiriamali wa Mkoa wa Kusini Pemba alipotembelea vikundi hivyo na kutowa mchango wao kwa Vikundi hivyo katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fiedel Castro.
  MKE wa Rais wa Zanzibarb na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiangalia Bidhaa za Kikundi cha Wajasiriamali cha Nia Safi Iwpo Saccos, akiwa na Mke wa Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha  Seif na Mke wa Balozi Mdogo wa China Zanzibar Mama Wu Yan.
 MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiangalia bidhaa za Kikundi cha Uwama Ngombeni cha Mkoani Pemba akiangalia bidhaa za sabuni ya chokaa
 MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi kiongozi wa kikundi cha Wanawake cha Hatugombani, Biharusi Khamis.
 MKE wa Rais wa Zanzibarb na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein akizungumza bidhaa za vikundi vya Wajasiriamali 
 MKE wa Rais wa Zanzibarb na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiangalia Bidhaa za Kikundi cha Wajasiriamali. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu Zanzibar


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...