Na Andrew Chale,Zanzibar 

MBUNIFU mkongwe wa mitindo na mavazi nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na kaka yake, Aliyefahamika kwa jina la Athuman Bakari, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja. 

Akizungumza kwa majonzi, Asia Idarous alisema kuwa, kuondokewa na kaka yake huyo ni pigo kubwa kwao na kumuombea. “Familia ipo katika masikitiko makubwa, hivyo tunamuombea kwa Muumba” alisema Asia kwa masikitiko. 

Na kuongeza kuwa, mazishi ya msiba huo yanatarajiwa kuwa mchana wa leo Desemba 31, huko huko Kisiwa Ndui, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajiuuunnn !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...