Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi.
Irene Isaka akipokea tuzo ya NBAA toka
kwa mgeni rasmi Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Goodluck Ole- Medeye
baada ya kuwa
mshindi wa kwanza katika uwasilishaji wa hesabu safi katika mwaka 2012,katika kundi la Mamlaka za
Usimamizi zinazotumia mfumo wa “ International Public Sector Accounting
Standards ( IPSAS) katika uandaaji wa mahesabu wakati wa hafla ya utoaji tuzo za NBAA iliyofanyika katika hotel ya Naura Spring Arusha.
Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA Professor Musa
Assad akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa
SSRA Bi. Irene Isaka wakati wa hafla ya utoaji tuzo za NBAA iliyofanyika katika hotel ya Naura Spring Arusha.
Mjumbe wa bodi ya NBAA na Mkurugenzi wa zamani wa bodi
ya SSRA bwana Juma Muhimbi akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Bi.Irene Isaka mara
baada ya kupokea tuzo ya NBAA, nyuma yake
Mkaguzi wa ndani wa SSRA Bwana.
Peter Mbelwa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...