Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi. Irene Isaka akipokea tuzo ya  NBAA toka kwa mgeni rasmi Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Goodluck Ole- Medeye   baada ya  kuwa  mshindi wa kwanza katika uwasilishaji wa hesabu safi  katika mwaka 2012,katika kundi la Mamlaka za Usimamizi zinazotumia mfumo wa “ International Public Sector Accounting Standards ( IPSAS) katika uandaaji wa mahesabu wakati wa hafla ya utoaji tuzo za NBAA  iliyofanyika katika hotel ya Naura  Spring Arusha.
 Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA Professor Musa Assad  akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Bi. Irene Isaka wakati wa hafla ya utoaji tuzo za NBAA  iliyofanyika katika hotel ya Naura  Spring Arusha.
 Mjumbe wa  bodi ya NBAA na Mkurugenzi wa zamani wa bodi ya SSRA  bwana Juma Muhimbi  akimpongeza Mkurugenzi  Mkuu wa SSRA Bi.Irene  Isaka  mara baada ya kupokea tuzo ya NBAA, nyuma yake  Mkaguzi wa ndani wa SSRA  Bwana. Peter Mbelwa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...