Mchekeshaji Eric Omondi toka Kenya akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mchana huu tayari kuvunja mbavu wadau kwenye onesho la kufunga mwaka la Vuvuzela Entertainment linaloanza saa moja leo hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam
 Mchekeshaji Evans Bukuku akimpokea Eric Omondi toka Kenya alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mchana huu tayari kuvunja mbavu wadau kwenye onesho la kufunga mwaka la Vuvuzela Entertainment linaloanza saa moja leo hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam
 Evans: Dah!  Jamaa kumbe shotiiii
Eric: Dah!v Madhee kumbe mtoliiii 
Wakila pozi kabla ya kukwea Bajaji kuelekea Uchumi Supermarket iliyoko Quality Centre kununua makubazi maana alisahau kubeba
 Wadau wa Uchumi wakimhudumia Eric
 Eric na Evans wanaonesha kadi ya Uchumi Supermarket
 Eric akisonga ugali. Kumbe alikuwa hajala...
HEMBU CHEKI VIBWEKA VYA ERIC OMONDI JUKWAANI HAPA CHINI.....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...