Mjumbe wa NEC Phares Magesa akiongea na viongozi wa Chama na Serikali kata ya Mbagala Kuu, jimbo la Kigamboni, Ndg. Magesa yuko katika ziara ya kuimarisha Chama na kusimamia utekelezaji wa Ilani , pamoja na mambo mengine MNEC alisisitiza umuhimu wa kushirikiana viongozi wote, kutokuwa na makundi, kutekeleza kwa haraka miradi yote ya maendeleo iliyoahidiwa kwa wananchi, kuwa na umoja ili kupata mafanikio ya haraka. UMOJA NI ISHINDI !

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...