Mjumbe wa NEC Phares Magesa akiongea na viongozi wa Chama na Serikali kata ya Mbagala Kuu, jimbo la Kigamboni, Ndg. Magesa yuko katika ziara ya kuimarisha Chama na kusimamia utekelezaji wa Ilani , pamoja na mambo mengine MNEC alisisitiza umuhimu wa kushirikiana viongozi wote, kutokuwa na makundi, kutekeleza kwa haraka miradi yote ya maendeleo iliyoahidiwa kwa wananchi, kuwa na umoja ili kupata mafanikio ya haraka. UMOJA NI ISHINDI !
Home
Unlabelled
MNEC Magesa katika ziara ya kuimarisha Chama na kusimamia utekelezaji wa ilani Temeke
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...