Mkurugenzi
wa Msama Promotions,Inayoandaa tamasha la Krismasi,Bwa.Alex Msama
akikabidhi zawadi ya vyakula kwa ajili ya sikukuu za Krisimasi na Mwaka
Mpya kwa msimamizi wa kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika
mazingira magumu cha Yatima Group Trust Fund cha Chamazi,Haruna
Mtandika.
Hafla hiyo ilifanyika hapo jana kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini dar,vituo vitano vilinufaika na msaada huo ambavyo ni onorata Temeke,Mwandaliwa Boko,Malaika Kinondoni,Yatima Group Truts Fund ya Chamazi na Mahabusu ya Watoto Upanga,vyote vya jijini Dar.Makabidhiano yao yamefanyika jana kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizopo Kinondoni jijini Dar.
Hafla hiyo ilifanyika hapo jana kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini dar,vituo vitano vilinufaika na msaada huo ambavyo ni onorata Temeke,Mwandaliwa Boko,Malaika Kinondoni,Yatima Group Truts Fund ya Chamazi na Mahabusu ya Watoto Upanga,vyote vya jijini Dar.Makabidhiano yao yamefanyika jana kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizopo Kinondoni jijini Dar.
Baadhi
ya Wanahabari mbalimbali waliofika kwenye tukio la Msama Promotions
Ltd,ilipokuwa ikikabidhi zawadi ya vyakula kwa ajili ya sikukuuu za
Krisimasi na Mwaka mpya kwa vituo vitano vya Watoto Yatima na waishio
katika mazingira magumu,jijini dar jana.
Mkurugenzi
wa Msama Promotions,Inayoandaa tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika kesho Duniani kote,Bwa.Alex Msama
akikabidhi zawadi ya vyakula kwa ajili ya sikukuu za Krisimasi na Mwaka
Mpya kwa mlezi wa kituo cha kulelea watoto cha Mwandaliwa-Boko
jijini Dar,Bi.Halima Mpeta.
Mwenyekiti wa Tamasha hilo Bwa.Msama amesema kuwa kama ilivyo ada ya kampuni yake,imeamua kutoa kiasi fulani cha mapato yake ya tamasha hilo na kununua vyakula kwa ajili ya kuwapa zawadi watoto yatima na wasiojiweza ili na wao washerehekee sikukuu kwa furaha kama wenzao.
Mwenyekiti wa Tamasha hilo Bwa.Msama amesema kuwa kama ilivyo ada ya kampuni yake,imeamua kutoa kiasi fulani cha mapato yake ya tamasha hilo na kununua vyakula kwa ajili ya kuwapa zawadi watoto yatima na wasiojiweza ili na wao washerehekee sikukuu kwa furaha kama wenzao.
Vituo
vilivyopata zawadi hizo ni Honorata Temeke,Mwandaliwa Boko,Malaika
Kinondoni,Yatima Group Truts Fund ya Chamazi na Mahabusu ya Watoto
Upanga,vyote vya jijini Dar.Makabidhiano yao yamefanyika jana kwenye
ofisi za kampuni hiyo zilizopo Kinondoni jijini Dar.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...