Mashabiki wa Timu ya Yanga wakishangikia kwa shangwe hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku ya kukutana kwa Timu mbili kubwa hapa nchini ambazo ni Simba na Yanga.Mtanange huu wa leo ni wa Kumsaka Mtaji Jembe kati ya Timu hizo mbili. Watu mbali mbali ambao ni wapenzi wa soka bado wanazidi kuingia uwanjani hivi sasa.Timu ya Globu ya Jamii iko Uwanjani hapa hivi sasa na itakuwa ikikuletea matukio kedekede yanaendelea kuanzia sasa mpaka mwisho wa mchezo huu.
 Mashabiki wa Timu ya Simba nao hawako nyuma kwenye kuisapoti timu yao.
 Hadi hivi sasa hali ya Mashabiki uwanjani hapa iko namna hii kwa upande wa Yanga.
Na kwa Upande wa Mashabiki wa Simba Mambo yako namna hii.
Hii ndio LineUp ya leo kama inavyosomeka hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...