Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Dk.Hassan Mshinda,Mkurugenzi  Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania,wakati alipotembelea maonesho katika Kongamano la Utafiti na Ubunifu,lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Alex Maharindo, wa Kampuni ya  BR-Solution,ambayo inashuhulika na utoaji wa Taarifa kwa watumiaji wa simu za mikononi, wakati   alipotembelea maonesho katika Kongamano la Utafiti na Ubunifu,lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,
  Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof, Idrisa A.Rai,alipokuwa akitoa salamu zake wakati wa Kongamano la Utafiti na Ubunifu,lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia pichani).
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed,alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,kulifungua Kongamano la Utafiti na Ubunifu,katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akitoa hutuba yake wakati alipolifungua Kongamano la Utafiti na Ubunifu, katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,(wa kwanza kulia) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa,( SUZA), Prof, Idrisa A.Rai, (kushoto) ni Dk.Hassan Mshinda,Mkurugenzi  Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia  Tanzania,akifuatiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed,
Baadhi ya wadau mbali mbali walioshiriki katika Kongamano la Utafiti na Ubunifu,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akitoa hutuba yake wakati alipolifungua leo katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.Picha na Ramadhan Othaman-IKULU-Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...