Niseme wazi kwamba timu yetu iko kwenye maandilizi ya mwishomwisho kabisa kabla ya kuumana na watani wetu wa jadi, Wahenga Veterans, hii itakuwa na game number 566U itakayopigwa uwanja wa TP Tandale alimaarufu Nangwanda sijaona.

 Itakumbukwa kwamba mwaka jana mechi kama hii wenzetu walishinda kwa goli za jioni sana, kwakutambua hilo walimu wetu akina Madaraka Selemani wamefanya kazi ya ziada kwa kurekebisha baadhi makosa na vilevile kucheza mechi nyingi sana za kirafiki ikiwa ni pamoja na kuvuka maji hadi visiwani tulipowapiga KMKM 2-1.

Tarehe
Muda
Mechi No
Uwanja
mechi Na
21/12/2013
0800am
564U
Staki Shali
Staki shali Veterans
22/12/2013
0430pm
565H
Nagwanda Sijaona a k a TP
Kilwa Veterans
28/12/2013
0430pm
566U
Nagwanda Sijaona a k a TP
Wahenga Veterans

Timu iko sawasawa kutoa burudani kwa wapenzi wetu karibuni sana.

Pamoja na maandilizi hayo tunapenda kuwafahamisha kwamba Golden Bush tumemchukua bwana Jonas Afumwisye kuwa bounsa wetu hasa pale tunapocheza game nzito hasa zenye upinzani kama Wahenga.

Asanteni
Onesmo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...