Ustaadh Ally Abrahaman Muki, ambaye ni Mwl Katika Kituo Cha Madrassa Mukkarramah & Nursery School akitunukiwa cheti pamoja na vifaa vya Kufundishia na Mgeni Rasmi Sheikh Suleiman Amran Kilemile vilivyotolewa na Taasisi ya Kalamu Education Foundation wakati wa sherehe za uzinduzi wa Kituo hicho Jana.
   Kiongozi wa Kikundi cha Kinamama cha Ahbaabur Rasuul, Ukhty Samia akipokea zawadi ya Jola ya Kitambaa kama sehemu ya Uwezeshwaji kiuchumi kwa akina Mama uliotolewa na Taasisi ya Kalamu Education Foundation kwa ajiri ya unifomu za Wanafunzi wa Kituo Hicho.
 Baadhi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Kalamu Education Foundation walipokuwa katika picha ya Pamoja na wanafunzi wa Kituo cha Madrassa Mukarramah & Nursery School kilichopo Kipala Mpakani – Mkuranga, Pwani. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kila la kheri, tuendelee kutoa elimu kwa watoto wetu ili waweze kuwa wema na hatimae kutumikia vyema jamii kwa maendeleo mema ya taifa kwa ujumla

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...