Kaimu mkurugenzi mkuu wa hifadhi za Taifa (TANAPA ) Dr Ezekiel Dembe ( kulia) akimakabidhi Bi Jane Mwakinyuke kutoka Hifadhi ya Taifa Mikumi , cheti cha kuhitimu mafunzo ya mwezi mmoja ya kuongoza watalii katika hifadhi za Taif
Kaim mkurugenzi mkuu wa TANAPA DR Ezekiel Dembe wa pili kulia waliokaa akiwa na kaim mhifadhi wa Ruaha Bw John Nyamhanga kulia ,Godwell ole Meing'ataki Mratibu wa mradi wa kuboresha mtandao wa maeneneo yaliyohifadhiwa kusini mwa Tanzania. ' SPANEST kushoto wa pili na kaimu RAS Iringa pamoja na walimu wa mafunzo hayo na askari waliohitimu mafunzo waliosimama. BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI ZAIDI |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...