Sehemu ya ujenzi wa barabara ya Mbeya mpaka Chunya ukiendelea
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akwaelekeza jambo Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro,walipokuwa wakielekea wilayani Chunya mapema leo.Kwa mujibu wa Barabara hiyo inajengwa na kampuni ya China (China Communications Construction Company),yenye urefu wa Km 36 kwa gharama ya shilingi Bilioni 53.
Ujenzi ukiendelea kwa nguvu
Sehemu ya ujenzi wa daraja barabara ya Mbeya kuelekea Chunya kama ionekanavyo pichani
Mmoja wa wakazi wa Chunya akikatiza kwenye kipande cha sehemu ya barabara iliotiwa lami
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...