Sehemu ya ujenzi wa barabara ya Mbeya mpaka Chunya ukiendelea
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akwaelekeza jambo Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro,walipokuwa wakielekea wilayani Chunya mapema leo.Kwa mujibu wa Barabara hiyo inajengwa na kampuni ya China (China Communications Construction Company),yenye urefu wa Km 36 kwa gharama ya shilingi Bilioni 53.
 Ujenzi ukiendelea kwa nguvu
 Sehemu ya ujenzi wa daraja barabara ya Mbeya kuelekea Chunya kama ionekanavyo pichani
 Mmoja wa wakazi wa Chunya akikatiza kwenye kipande cha sehemu ya barabara iliotiwa lami
Barabara ya Mbeya kuelekea Chunya ikiendelea kujengwa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...