Dk. Anatory Amani akinyoosha CD hiyo juu ikiwa pamoja na Grad Collection moja ya CD yenye Album sita kwa pamoja
Karibu tuzindue...
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani na Askofu Msaidizi wa Jimbo Cathoric la Bukoba Methodius Kilaini kulia wakionesha CD hiyo ya Zawadi ya Christmass inayoonekana juu ya Kasha.
Wakaongezea mzigo mwingine
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani (kati) Askofu Msaidizi wa Jimbo Cathoric la Bukoba Methodius Kilaini (kulia) na Mwenyekiti wa Kamati Bw. Philibert T. Katabazi.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...