Bwana Harusi Erick 'Msengii’ Natianota akimlisha keki mke wake kipenzi Herieth Kashangaki wakati wa tafrija ya kumeremeta kwao siku waliyoamua kuachana na ukapela mwishoni mwa wiki.
Baba mzazi wa Bwana harusi Mzee Shanta Natianota,akiongea machache kwa wanae Erick na Herieth.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hongera Erick. Tunakutakia maisha mema wewe na mke wako Mungu awajalie.

    ReplyDelete
  2. Oh happy day!!! Look at that proudly face of the father of the groom. Proud parents, mother of the groom is just listening and smiling#Beautiful

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...