Balozi wa Tanzania nchini China Mhe Abdulrahman Shimbo akizungumza na wanafunzi pamoja na wanajumuiya ya Watanzania walio Beijing na Tianjin walipojumuika katika ubalozi wa Tanzania jijini Beijing kwa sherehe hizo
 Jumuiya ya Wanafunzi wa Beijing na Tianjin wakizungumza  na Balozi Abdulrahman Shimbo katika ubalozi wa Tanzania jijini Beijing walipokutanika  Kusheherekea sikukuu ya Uhuru maarufu kama 9 Desemba.

Wasaka Nondozzz huko Beijing, China, Kutoka kushoto ni  wadau Liberata Rushaigo, Fatuma Matulanga, Suleima Serera, Moses Mwangende na Khamis Said. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...