Mkuu wa wilaya ya Tanga Bi. Halima Dendego, akifungua warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira inayoendelea mkoani Tanga kati ya tarehe11-12 Desemba 2013.Warsha hiyo imeandaliwa na WWF-Tanzania.
Meneja Uhifadhi wa mazingira wa WWF-Tanzania,Gerald Kamwenda akitoa mada katika warsha ya asasi za kiraia na wanahabari inayoendelea mkoani Tanga
Wadau wakisikilza mada katika warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira inayoendelea mjini Tanga.
Washiriki wa warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya Tanga Bi. Halima Dendego.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...