Kipre Tchetche akimtoka beki wa Rhino Rangers, Laban Kambole katika mchezo wa Ligi nKuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo mkwenye Uwanja wa Chamazi. Azam imeshinda 1-0.
Kipre Tchetche  akipiga mpira uliozaa bao pekee la timu hiyo.
 Mshambuliaji wa Azam FC, Kone Mohamed (katikati), akiwania mpira huku akizongwa na beki wa Rhino Rangers.
 Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre TcheTche akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa timu ya Rhino Rangers, Julius Masunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azama ilishinda 1-0. 
 Kipre Tchetche akimshukuru Mungu baada ya kuifungia timu yake bao.
Wachezaji wa Azam Fc wakipongezana baada ya Kipre Tchetche kuipatia timu yake bao pekee.
Wachezaji wa Rhino Rangers wakitoka mapumziko.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...