Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa uzinduzi wa kipindi cha watoto cha Luninga cha ‘JJ-Ubongo Show’ kitakachodhaminiwa na akauti ya Junior Jumbo na kurushwa katika vituo vya televisheni kwa lengo la kuwafanya watoto wapende masomo ya hisabati, sayansi na fedha. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Masoko, Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB,Tully Mwambapa akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei wakati wa uzinduzi wa kipindi cha watoto cha Luninga cha ‘JJ-Ubongo Show’ kitakachodhaminiwa na akauti ya Junior Jumbo na kurushwa katika kituo cha televisheni cha TBC kwa lengo la kuwafanya watoto wapende masomo ya hisabati, sayansi na fedha.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...