Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Luigi Scotto,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Luigi Scotto,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais jana.PICHA NA IKULU,ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Heee makubwa!

    Huyu Balozi wa Italia si yupo mika yote hii nafikiri zaidi ya miaka miwili sasa tokea aje nchini ndio leo anajitambulisha tena?

    Au ndio yupo ktk uenezi ya kuuuza sera za Italia kwetu?

    Kama ni hivyo swadakta, karibuni Waitaliana mje kuwekeza ikiwezekana kuanzia kwenye Sekta yenu kubwa upishi wa Tambi na Pizza !!!

    Lakini siye Zanzibari tuna Pizza zetu za kienyeji ame!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...