Kamati ya Msukumo wa Harambee ya ujenzi kuadhimisha miaka 25 ya Shule ya Sekondari ya St. Mary's Mazinde Juu, Lushoto, inawaalika wanafunzi wote waliowahi kusoma hapo, wazazi na walezi wenye watoto, Mashirika na Makampuni mbalimbali katika Harambee itakayofanyika Jumamosi tarehe 8 Februari 2014 katika Ukumbi wa Marantha Msimbazi Centre, Dar es Salaam kuanzia saa 4 asubuhi. Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Edward Lowassa Mb. Tafadhali wafahamishe na wengine. Karibuni
Home
Unlabelled
Harambee ya Shule ya Sekondari ya St. Mary's Mazinde Juu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...