Keki ya besdei ya kuzaliwa  mbunifu wa mitindo maarufu wa Tanzania Ally Rhemtullah amnbayo  ni spesho kwa ajili yake
Hapa Ally akipata ukodak na marafiki zake kwenye besdei  hiyo, kivutio kikubwa katika birthday hii ni cake ambayo ilikuwa ya aina yake yenye mfano wa mwili wa binadamu. Hii ni kuonyesha kuwa yeye ni mwanamitindo wa nguo eeeh!! mambo mengine mwachie baba na mama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. SASA HUYO RHEMTULLAH ANANYONYA NINI HAPO? HIYO KEKI NI SANAMU YA MTU NA HAPO ALIPOWEKA MDOMO NI INJINI ROOM SASA TUMUELEWEJE SISI!

    ReplyDelete
  2. Mdau sina mbavu. Umenichekesha sana! Tafadhali usirudie maana unaniumizia mbavu zangu kwa kicheko!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...