Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Hamis Mdee akipima afya yake kwenye banda ya NHIF katika maonesho ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.
Mwakilisho wa NHIF Zanzibar Ismail Kangeta (Katikati) akitoa elimu ya umuhimu na namna ya kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika maonesho hayo.
Ofisa Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Michael akifafanua jambo kwa wananchi waliofika katika banda la Mfuko huo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...