Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Hamis Mdee akipima
afya yake kwenye banda ya NHIF katika maonesho ya maadhimisho ya miaka
50 ya Mapinduzi Zanzibar.
Mwakilisho
wa NHIF Zanzibar Ismail Kangeta (Katikati) akitoa elimu ya umuhimu na
namna ya kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika maonesho
hayo.
Ofisa Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Michael akifafanua jambo kwa wananchi waliofika katika banda la Mfuko huo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...