Home
Unlabelled
JK afungua Kongamano la Viongozi wa Dini Kuhusu Rasilimali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
serikali yetu ni ya kinafiki, sasa hivi wameona mashehe wenye vikofia wawaalike wawape sitting allowance ili waende wakawapigie debe mtwara kwa wananchi ambao haki zao zimebinywa , serikali hii potofu kweli ,mbona kule arusha mbuga and madini wananufaika zaidi wakazi wa arusha , kwa nini gesi na mafuta yasibakie huko mtwara yakaletwa kwa malori , kuna ulazima gani wa bomba , hapa kuna namna , ndugu zangu mtwara msikubali , nachema tena chichi bachi tena njomba JK hatutaki kupewa choda za kulaghai
ReplyDeleteahsante mdau wa kwanza kwa kuliona hilo; inahitajika mageuzi ya kweli. hatuhitaji porojo, Mheshimiwa Rais tunashukuru kwa kusaidia vijana wengi kuongezeka kuelimika kupitia mashule uliyaongeza; haya umewafanya wananchi wako waijue vizuri dunia. Ahsante kwa hilo Rais; lakini uwe na uvumilivu manake watu walioelimika sio kama wa miaka ile ya Rais wa kwanza, yani kila kitu YES SIR. Tuvumiliane nchi yetu sote tuendelee kuijenga; kama mtu hataki basi Tumuombe Yule Aliyetuumba Atufishe Sote na Atuhakikishie tunaenda peponi tu, halafu huyo asiyetaka abakie peke yake nchini humu. Ale kila kilichobakia peke yake... Kila la kheri kaka michuzi
ReplyDelete