Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Frolence Turuka akisisitiza jambo wakati akiongea na watumishi wa Ofisi hiyo katika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam jana.
Kaimu Mwenyekiti wa TUGHE- Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Numpe, akieleza masuala mbalimbali yanayowahusu watumishi wa Ofisi hiyo wakati wa Mkutano wa Watumishi wa Ofisi hiyo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Frolence Turuka .
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli (kulia )akimpongeza Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu- Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Immaculata Ngwalle (kushoto) kwa kuandaa kikao cha Watumishi wa Ofisi hiyo na Katibu Mkuu. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...