Machi 26, 2010: Ankal na mdau Hassan (wa pili kulia) wakipozi na crew nzima ya kipindi kikali cha TV cha Talk show  cha 'Sporah Show' wakati wa mkutano wa Diaspora jijini London. Wakati huko Uingereza kipindi hicho kilichojizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa mtangazaji na mmiliki wake Sporah Njau (kushoto kwa Ankal), kinarushwa kupitia Ben TV  SKY Channel 184 hivi sasa kitaanza kurushwa nchini Tanzania kupitia CLOUDS TV kuanzia mwezi ujao. Globu ya Jamii inatoa pongezi sana kwa Sporah na kundi lake zima kwa kuzidi kupaa. Bofya video chini umsikie katika mahojiano na Ankal ambapo alielezea ndoto zake za kulete kipindi hicho nyumbani.Kunradhi kwa background noise.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...