Mabalozi kutoka nchi za SADC wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Zimbabwe Ubelgiji Mhe. Mary Margaret Muchada (wa tatu kulia). Mabalozi hao walikutana Brussels kumuaga Balozi wa Zimbabwe ambaye anarejea Zimbabwe kuendelea na majukumu mengine.
Balozi Mary Margaret Muchada wa Zimbabwe nchini Ubelgiji Akifurahia Zawadi Aliyopewa na Mabalozi wa Nchi za SADC Ubelgiji. Balozi Hanno Rumpf wa Namibia nchini Ubelgji (mwenye miwani) Ndiye Alimkabidhi Balozi Muchada zawadi kwa niaba ya Mabalozi wa SADC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...