Wachezaji wa Mbeya City wakifanya mazoezi mepesi kabla leo kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba kujiweka tayari na mchezo wao dhidi ya Kagera Sukar ya hapa Bukoba.
Kocha Juma Mwambosi wa Mbeya City akiteta na wachezaji wake leo wakati wa mazoezi, Hakika ni swala la kuangalia uwanja ulivyo ili kesho wautumie vizuri na hatimaye wajichukulie pointi tatu.
Kocha Juma Mwambosi wa Mbeya City (kulia) akiangalia vijana kama wako sawa kwa mtanange wa kesho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...