Mdau Fatima Adadi Rajab akiwa katika pozi mara baada ya kulamba nondozz yake ya maswala ya Usimamizi wa Biashara (Masters in Business Administration) katika mahafali yalitofanyika hivi karibuni katika Chuo Kikuu cha Derby (University of Derby) nchini Uingereza.
Mdau Fatima Adadi Rajab akiwa (kati) akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake,Balozi Adadi Rajab (pili kushoto),Balozi Peter Kallaghe (Kulia),Mdogo wake Mwanaidi Adadi Rajabu (kushoto) pamoja na Mama yake Mdogo kutoka nchini Belgium,Mama Hilda wakati wa kumpongeza kwa kulamba nondozzz yake hiyo ya maswala ya Usimamizi wa Biashara (Masters in Business Administration) katika mahafali yalitofanyika hivi karibuni katika Chuo Kikuu cha Derby (University of Derby) nchini Uingereza.
Mdau Fatima akipozi na wazee.
Dada na Mdogo wake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Very very nice .

    ReplyDelete
  2. Wadau, naombeni namba ya hako kadogo kake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...