Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kiembesamaki Bwa. Suluhu Ali Rashid, akitowa maelezo kwa mgombea wa CCM alipofika kuchukua fomu ya kugombea Uwakilishi katika Ofisi za Tume Maisara. 
MGOMBEA nafasi ya Uwakilishi katika Uchaguzi mdogo wa  Jimbo la Kiembesamaki Bw. Mahmoud Thabit Kombo, akikabidhiwa Fomu ya kugombea nafasi hiyo na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kiembesamaki Suluhu Ali Rashid, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara

                      MGOMBEA nafasi ya Uwakilishi katika Uchaguzi mdogo wa  Jimbo la Kiembesamaki Bw. Mahmoud Thabit Kombo akionesha fomu zake baada ya kukabidhiwa na Afisi wa Tume ya Uchaguzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hasara ya nini wakati umebaki mwaka mmoja tu kabla ya uchaguzi mkuu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...