Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kiembesamaki Bwa. Suluhu Ali Rashid, akitowa maelezo kwa mgombea wa CCM alipofika kuchukua fomu ya kugombea Uwakilishi katika Ofisi za Tume Maisara.
MGOMBEA nafasi ya Uwakilishi katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Bw. Mahmoud Thabit Kombo, akikabidhiwa Fomu ya kugombea nafasi hiyo na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kiembesamaki Suluhu Ali Rashid, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara
MGOMBEA nafasi ya Uwakilishi katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Bw. Mahmoud Thabit Kombo akionesha fomu zake baada ya kukabidhiwa na Afisi wa Tume ya Uchaguzi
Hasara ya nini wakati umebaki mwaka mmoja tu kabla ya uchaguzi mkuu?
ReplyDelete