Alhamisi ya leo Daraja la Mto Kanoni linalounganisha Manispaa ya Bukoba na Wilaya nyingine na pia likitumika kama njia kuu ya kwenda Nchi jirani limezinduliwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera kanali mstaafu FABIAN MASSAWE.
Daraja hili lilikuwa kwenye ukarabati takriabni miezi nane sasa ambapo watumiaji wa vyombo vya moto walikuwa wakilazimika kupitia kwenye Barabara ya muda ya Nyakanyasi, Migera au Kashura kuingia katika Manispaa ya Bukoba.
Limekamilika sasa. Pongezi kwa Tanroads Kagera na karibu Bukoba.
Tunashukuru mkoa daraja limezinduliwa mambo ya kuzunguka yalikuwa yanachosha.
ReplyDelete