Faustine Ruta, Bukoba
Alhamisi ya leo Daraja la Mto Kanoni linalounganisha Manispaa ya Bukoba na Wilaya nyingine na pia likitumika kama njia kuu ya kwenda Nchi jirani limezinduliwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera kanali mstaafu FABIAN MASSAWE. 

Daraja hili lilikuwa kwenye ukarabati takriabni miezi nane sasa ambapo watumiaji wa vyombo vya moto walikuwa wakilazimika kupitia kwenye Barabara ya muda ya Nyakanyasi, Migera au Kashura kuingia katika Manispaa ya Bukoba.
Limekamilika sasa. Pongezi kwa Tanroads Kagera na karibu Bukoba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunashukuru mkoa daraja limezinduliwa mambo ya kuzunguka yalikuwa yanachosha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...