Mwenge wa Jumuiya ya Madola (Queens Baton Relay) leo umetembelea
Hospitali ya Taifa Muhimbili jumapili ukiongozwa na Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Dianna Melrose pamoja na mshindi wa mbio za kilomita 1500 za jumuiya ya madola Bw. Filbert Bayi.
Mwenge huu umetembelea Hospitalini hapa kwa nia kubwa ya
Kukutana na watoto wanaougua saratani mbalimbali ili kuwapa
matumaini ya kuishi na kwamba jamii inawanathamini. Watoto hawa
wamepata fursa ya kuushika mwenge huu na kupiga picha kama
kumbukumbu muhimu katika maisha yao fuatulia katika picha jinsi




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...