Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje,Mh. Edward Lowassa akifurahia jambo wakati akiwa katika maongezi na Mwenyekiti wa CCM tawi la Washington DC nchini Marekani,Bw. George Sebo aliyemtembelea ofisini kwake jijini dar es salaam leo.
Home
Unlabelled
Mwenyekiti wa CCM Washington amtembelea Mh. Lowassa ofisini kwake leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...