Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne S. Makinda (Mb), anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Saidi Ramadhani Bwanamdogo Kilichotokea leo Jumatano asubuhi tarehe 22.1.2014 Katika hospitali ya MOI DSM alipokuwa amelazwa kwa Matibabu. 
Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi 
kwa kushirikiana na familia ya Marehemu.
Inna llilah Waina Illaih Rajiun!

SPIKA WA BUNGE,
22.01.2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Inna lillah wa inna ilayhi rajiun,
    Allah amweke katika kundi la waja wema

    ReplyDelete
  2. Rip Bwanamdogo

    ReplyDelete
  3. RIP BWAMDOGO

    ReplyDelete
  4. joseph shayoJanuary 22, 2014

    Polen sana

    ReplyDelete
  5. R.I.P Bwana Mdogo.
    Jamaa alikuwa jina zuri " Bwanamdogo"

    ReplyDelete
  6. mungu ilaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...