Leo tarehe 30 January, 2014 Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imeiondolea Vikwazo Madagascar na kuiruhusu kuendelea na Uanachama katika Jumuiya hiyo, kufuatia uchaguzi uliozingatia misingi ya Demokrasia. Pichani ni Rais mpya wa Madagascar Mhe. Herry Rajaonarimampianina akizungumza kwenye mkutano unaoendelea leo jijini Addis Ababa,Ethiopia.
Home
Unlabelled
SADC Yaindolea Vikwazo Madagascar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...