Jeneza lenye mwili wa Marehemu Sultan Sikilo,aliekuwa Mweka Hazina wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na mchezaji wa timu ya Waandishi wa Habari za Michezo TASWA Fc ambaye pia alikuwa Mtangazaji wa Radio Aboud ya Mjini Morogoro,ukitolewa ndani ya Nyumba yao,eneo la Mbagala Maji Matitu kwa ajili ya kusaliwa na kuanza kwa safari ya kwenda mashikoni.
Waumini wa Kiislam wakiswalia Mwili wa Marehemu Sultan Sikilo.
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Sultan Sikilo likiwa limebebwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba ya Milele.
Wadau mbali mbali wakishirikiana kubeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Sultan Sikilo.
inna lillah wa inna ilayhi rajiun, Allah akuweke ktk kundi la waja wema
ReplyDelete