Mtoto mkubwa wa Marehemu JAji George Bakari Liundi, ndg. Taji Liundi na Mkewe wakiweka shada la Maua kwenye Kaburi la Baba yao,wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo kwenye Makaburi ya Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo. 

Mke wa Marehemu Jaji George Bakari Liundi akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mumewe wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika leo kwenye Makaburi ya Chang'ombe jijini Dar leo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...