| Bondia Shabani Mtengela akiwa chini oi baada ya kupewa konde zito na Twalib Mchanjo. Picha na www.superdboxingcoach. |
Home
Unlabelled
SAIDI MBELWA ALIPIZA KISASI KWA K,O RAUNDI YA 5 ALIYOPIGWA KWA POINT NA AMBOKILE CHUSA MWAKA 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Tunakwenda .....hivyohivyo kichuga chuga.....angalia sehemu ya kupigania ilivyo....turubai.....angalia uzio..kamba za mkonge.....angalia wataamaji.....wanaweza fanya lolote kwa wapiganaji.....hayo ni machache niliyoweza yaona hapa, yawezekana yalikuwepo mengi zaidi. Lengo ni kuyaonesha mapungu ili wahusika wayarekebishe hatimaye tupige hatua.Huwa nachukizwa sana na mabondia wetu wanavyoshindwa kufanya vizuri nje ya nchi,yawezekana moja ya sababu ikawa ni kutofualitiliwa kwa kanuni na taratibu za mchezo huu kama ivyoonekana ktk picha hii hapo juu.
ReplyDelete