Tunasikitika kutangaza kifo cha Ndg. Deus Mtambalike kilichotokea tarehe 15/01/2014 katika hospitali ya Milpark nchini Afrika ya Kusini.
Katika uhai wake marehemu aliwahi kuwa Mkuu was wilaya katika sehemu mbali mbali nchini zikiwamo Ngara, Igunga, Tunduru, Ludewa na Muleba. 

Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumapili 19/01/2014 Nyumbani kwa marehemu  Kimara Bonyokwa jijini Dar es salaam  majira ya saa sita mchana Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe 
Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ni baba ake kilasa mtambalike au ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...