![]() |
FRANCIS DASTAN BENDERA |
Ndugu Allan Dastan Bendera mwana Diaspora wa Italy na mjumbe wa Jumuiya ya Watanzania Italy anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake pichani Francis Dastan Bendera, kilichotokea jana tarehe 6/01/2014 katika hospitali ya Muhimbili Dar Es Salaam Tanzania.
Marehemu alikuwa amelazwa katika hospitali ya Muhimbili baada ya kupata ajali ya bus la BURUDANI lililokuwa likitokea Korogwe kwenda Dar Es Salaam .
Ajali hiyo ilitokea Disemba 12 mwaka huu majira ya saa 1.30 asubuhi katika Barabara Kuu ya Segera Chalinze eneo la Kwaluguru Kata ya Kwedizinga wilayani ya Handeni.
Mazishi yatafanyika kesho tarehe 08/01/2014 nyumbani kwao Korogwe.
Basi la Burudani alilopata nalo ajali marehemu Francis Dastan Bendera
Mola ndio anaetoa na anaechukua. Kapumzike kwa amani marehemu Francis
ReplyDeletealiyeferiki ni Allan Dastan Bendera Au Francis Dastan Bendera?
ReplyDeleteHAPANA ALIYEFARIKI NI FRANCIS BENDERA
ReplyDelete