Mwemyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Catherine Magige (kushoto) akikabidhi masaada wa unga wa sembe kwaajili ya uji wa wanafunzi shule ya msingi Levolosi. Wanao pokea ni Mwenyekiti Kamati ya Shule, Edward Ngomuo (kulia) Mwalimu Mkuu Shule ya Luvolosi, Elisante Kaaya na Mwalimu wa Chakula shuleni hapo, Frida Mallya.
Mwemyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Catherine Magige (wapili kushoto) akimuweka katika kiti maalum cha magurudumu, motto mlemavu Hassan Ramadhani (10) mkazi wa Luvolosi mjini Arusha jana. Wanaoshuhudia ni mama mzazi wa motto huyo, Hadija Hassan na Mwalimu Mkuu Elisante Kaaya wa Shule ya Msingi Luvolosi.
Mwenyekiti wa Catherine Foundation na Mbunge wa viti Maalum Arusha, Catherine Magige akigawa juice kwa wanafunzi.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...