Home
Unlabelled
Tahadhari ya Mvua Kubwa na upepo mkali kutoka Mamlaka ya hali ya hewa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Habari ya Hali ya hewa ndio hiyo!
ReplyDeleteKazi kwetu wananchi Mamlaka zimesha timiza jukumu, atakaye puuza Taarifa hizi huku akiwa Mkazi wa Bondeni mwenyewe atajikuta anakwenda kuanza maisha mapya Mabwe Pande!
Tusipuuze hili Angalizo.Hii hali joto kali na unyevunyevyu(Humidity) Daresalaam itaisha lini nyie mamlaka ya hewa?Ni hatari.Tsk tsk tsk tsk....
ReplyDeleteDavid V
Je wakazi wa kingamboni nao kuvuka maji ya bahari itakuwaje? maana naona na wao wako kwenye hatari kubwa!
ReplyDeleteAhsante kwa taarifa mamlaka,ngoja nijiandae kuhamisha "assets" zangu ndani ya kibanda changu pale jangwani
ReplyDelete