Familia ya Hayati Jenkins Kafumba wa Kanisa Road, Chang’ombe, Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mzazi, Mama Grace Kafumba kilichotokea asubuhi ya leo, Ijumaa, Januari 3, 2014, katika Hospitali ya Tumaini mjini Dar es salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Kanisa Road, Dar es Salaam.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote walioko Bagamoyo, Malawi, Canada, Uingereza, Afrika Kusini na popote pale walipo.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa. 
Jina lake na lihimidiwe.
AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. RIP mama Bella..Amen.
    Mdau wa Oxy.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...