Familia ya Hayati Jenkins
Kafumba wa Kanisa Road, Chang’ombe, Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo
cha mama yao mzazi, Mama Grace Kafumba kilichotokea asubuhi ya leo, Ijumaa,
Januari 3, 2014, katika Hospitali ya Tumaini mjini Dar es salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika
nyumbani kwa marehemu Kanisa Road, Dar es Salaam.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa
na marafiki wote walioko Bagamoyo, Malawi, Canada, Uingereza, Afrika Kusini na
popote pale walipo.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Jina lake na lihimidiwe.
Jina lake na lihimidiwe.
AMINA


RIP mama Bella..Amen.
ReplyDeleteMdau wa Oxy.