Mhe. Balozi Tuvako Manongi akiwagawia keki watoto wakati wa hafla ya kuukaribisha  mwaka mpya 2014 iliyofanyika  nyumbani kwake  jiji New York usiku wa tarehe 31 na kuhudhuriwa na baadhi ya   Maafisa na  Wafanyakazi wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na familia zao, pamoja na ndugu jamaa na marafiki, 
 Balozi Manongi akifungua Champeni ili kuwamiminia maafisa na  Wafanyakazi wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na familia zao, pamoja na ndugu wakati wa hafla hiyo fupi
 Balozi Manongi akigonganisha glasi na maafisa na  Wafanyakazi wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na familia zao, pamoja na ndugu 
 Maafisa na  Wafanyakazi wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na familia zao, pamoja na ndugu wakigonganisha glasi kutakiana heri ya mwaka mpya
Balozi Manongi na maafisa na  Wafanyakazi wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na familia zao, pamoja na ndugu wakifanya toast kuulaki mwaka mpya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...