Kamishna Msaidizi- Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo, Mhandisi Fredy Mahobe kutoka Wizara ya Nishati na Madini akifafanua taratibu za kupata mikopo kwa wachimbaji wadogo.
Mhandisi Heri Issa kutoka Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) akionesha jinsi uchekechaji wa madini unavyofanyika, katika mafunzo ya wachimbaji wadogo yanayoendelea huko Tunduru mkoani Ruvuma.
Mjiolojia Mwandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw. Julius Sarota akielezea matumizi ya zebaki kwenye uchenjuaji wa madini katika mafunzo ya wachimbaji wadogo yanayoendelea huko Tunduru mkoani Ruvuma.
Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ( waliokaa mbele) ikiwa ni pamoja na washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...