David Lamuya kutoka Muungano wa  Utepe  Mweupe  (THE WHITE RIBBON ALLIANCE ) akimvisha utepe mweupe Waziri mkuu  Mizengo Pinda wakati ujumbe huo ulipomtembelea ofisini kwake leo. Kampeni yao inaitwa Wajibika  Mama Aishi.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Muungano wa Utepe Mweupe walipo mtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es salaam  .Muungano wa Utepe Mweupe wanaedesha kampeni inayoitwa   Wajibika Mama Aishi.       (PICHA ZOTE  NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...