Waziri Mkuu wa Finland,Jyrki Katainen akizungumza wakati wa Mkutano uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za uongozi wa Afrika ulioandaliwa na Uongozi Institute,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.
Waziri Mkuu wa Finland,Mh. Jyrki Katainen akisisitiza jambo wakati wa Mkutano uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za Uongozi Afrika ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi,Prof. Joseph Semboja.
Waziri Mkuu wa Finland,Mh. Jyrki Katainen (kushoto) akiendeleo kutoa hotuba yake mbele ya wageni mbali mbali waliohudhulia Mkutano huo uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za Uongozi Afrika ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,asie na Wizara Maalum,Mh. Prof. Mark Mwandosya akitoa hotuba yake mbele ya wageni mbali mbali waliohudhulia Mkutano huo (hawapo pichani) uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za Uongozi Afrika ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Waziri Mkuu wa Finland,Mh. Jyrki Katainen na Katikati ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi,Prof. Joseph Semboja.
Muanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mandela na Maendeleo ya Masomo nchini Afrika Kusini,Dkt. Nkosana Moyo akizungumza wakati akiwasilisha mada yake kwenye Mkutano uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za Uongozi Afrika ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.
Wageni mbali mbali wakimsikiliza Muanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mandela na Maendeleo ya Masomo nchini Afrika Kusini,Dkt. Nkosana Moyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...