Katibu
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge
wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wafike Jijini Dar es
Salaam Jumapili tarehe 26 Januari 2014 kwa ajili ya shughuli za Kamati za Bunge
zitakazoanza tarehe 27 Januari 2014 hadi tarehe 8 Februari 2014. Moja ya
shughuli hizo ni pamoja na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
Imetolewa
na
Ofisi ya
Bunge,
Idara ya
Habari, Elimu kwa Umma na
Uhusiano wa
Kimataifa
Dar es
Salaam
17 Januari
2014.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...