Mwanamuziki Christian Bella kwa mara ya kwanza live Oslo, ambaye ni Mwanamuziki wa mziki wa kizazi kipya Bongo Flavaz, amefanya kazi zake na wanamuziki mbali mbali ndani ya jiji la bongo na Nje ya Nchi na Sasa anaishi Sweden na anaendeleza


Kazi yake ya kimziki, kwakweri ni kijana hodari sana akiwa  jukwaani. Na hivi karibuni  yupo njiani kuelekea Bongo kutembelea ndugu na jamaa, pia wanamziki wenzie.



       KARIBUNI SIKU YA IJUMAA TAREHE 28/02/2014 
CHRISTIAN BELLA LIVE
       MUSIC BONGO FLAVAZ, ZUKU, NDOMBOLO, AZONTO, NAIJA MIX, MORE        DEEJAY HERO ALAIN-(STCKHLM)-KENYA & DJ PRED PRO (OSLO)-TZ 

       SAA-20:00-03:00 -KIINGILIO:- 150-ON DOOR, NOK BOOK-1OO NOK 

                         CONTACT:- +47 96872483 MPILY-www.djpred.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...