Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na akipata maelezo kutoka kwa Bunker Roy(katikati) Mwanzilishi wa Chuo kinachofundisha mambo ya ufundi wa aina mbali mbali ikiwemo vifaa vya umeme wa jua katika kijiji cha Tilonia Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajistan Nchni India akiwa katika ziara rasmi na ujumbe wake katika kukuza uhusiani na mashirikiano ya Kijamii.
Wanafunzi wa kike kutoka nchi mbali mbali wakiwa na mashine ya Umeme unaotumia Jua wanafunzi hao wakiwemo na wanafunzi kutoka Zanzibar katika kisiwa cha Pemba tayari wameweza kujipatia elimu ambayo wanatweza kuwapatia na wenzao watakaporudi nyumbani, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aliweza kujionea wanafunzi wanavufanya kazi zao akiwa katika ziara rasmi nchini India.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na mwenyeji wake katika Chuo cha ufundi wa Mafunzo ya Amali Bunker Roy(wa pili kulia) Mwanzilishi wa Chuo kinachofundisha mambo ya ufundi wa aina mbali mbali ikiwemo vifaa vya umeme wa jua katika kijiji cha Tilonia Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajistan Nchni India akiwa katika ziara rasmi na ujumbe wake katika kukuza uhusiani na mashirikiano ya Kijamii.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na alipofika katika chuo cha ufundi wa mafunzo ya Amali akiwaangalia Wanafunzi kutoka Kisiwani Pemba Kazija Gharib Issa na Fatma Ali Vuai,(kulia) akiwa na ujumbe wake walipofika Kijiji cha TILONIA wialaya ya Ajmer Jimbo la Rajistannchini India katika ziara rasmi ya kukuza uhusiano.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na alipofika katika chuo cha ufundi wa mafunzo ya Amali akiwaangalia Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali duniani wanofika kupata mafunzo hayo akiwa na ujumbe wake walipofika Kijiji cha TILONIA wialaya ya Ajmer Jimbo la Rajistannchini India katika ziara rasmi ya kukuza uhusiano.[Picha na Ramadhan Othman India.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...